Google PlusRSS FeedEmail

VITUKO VYA MTAANI, MWANAUME AKAMATWA UGONI AVULIWA NGUO


VITUKO vya mtaani, Njemba mmoja aliyejulikana kwa jina la Hussein Shaban(35) amefumaniwa katika nyumba ya kiongozi mmoja wa Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Tegeta jijini Dar es Salaam.

Sakata hilo lilitokea kitongoji cha Nyeishozi, Tegeta kwa kumuhusisha Hussein ambaye ni mfanyabiashara na mke wa kigogo huyo ambaye jina lake tunalihifadhi.

Baada ya kukamatwa ugoni mwanaume huyo inadaiwa kuwa watu wenye hasira kali walimvua nguo na kumtembeza uchi.

This entry was posted in

2 Responses so far.

  1. Anonymous says:

    Kwa kweli huo si utu.kama mtu kakosea hii ni adhabu mbaya sana.

  2. Anonymous says:

    JAMANI MBONA MKE WA KIGOGO HAJAVULIWA NGUO KWANZA HUYO MAMA ANA UMRI GANI NDIYO KAMPONZA HUYU KIJANA KWA TAMAA ZAKE MKE WA MTU AU HATOSHEKI NA MUME WAKE

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging