Google PlusRSS FeedEmail

AMANDA BYNES KUWA MWANAMITINDO

Siku chache mara baada ya kutoka kwenye uangalizi maalumu yaliyosababishwa na matumizi mabaya ya pombe, mwanamuziki Amanda Bynes, ameweka wazi mpango wake mpya kuwa ni kusomea masuala ya mitindo.

Amanda alikuwa kwenye uangalizi maalumu baada ya kufanya vitendo ambavyo havikuwa vya kawaida ikiwamo kuwasha gereji ndogo ya nyumba kulipua gesi, kiasi cha kuwatia mashaka jamaa na marafiki zake na hakimu ya mahakama ya Calfornia alitoa uamuzi wa kumpeleka kwenye matibabu na baadae Lihab kwa ajili ya kupata muda wa kujifunza na kujipumzisha

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging