Muigizaji ambaye pia ni mfanyabiashara kutoka nchi ya Nigeria, Empress Njamah amekanusha uvumi uliokuwa umetapakaa kuwa hawezi kuolewa na mwanaume maskini.
Alisema hayo alipokuwa kwenye mahojiano na mtandao wa sho ya bizbuz mwisho wa wiki, Njamah alifafanua kuwa alichokisema ni kwamba kuolewa na masikini ni kuongeza umasikini kwenye familia lakini kama akipatikana mwenye mapenzi ya kweli hawezi kumktaa kwa kuwa watakuwa wanapendana
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








