Google PlusRSS FeedEmail

JUSTIN BIEBER ATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA KIMBUNGA


Msanii kutoka nchini Canada Justin Bieber, awatembelea waathirika wa kimbunga pamoja na kutoa misaada kwa watu hao ambapo kimbunga hicho kilitokea hivi karibuni nchini Ufilipino.

Kwa mujibu wa Associated Press, alidai kuwa ziara ya Bieber nchini Ufilipino ni moja ya jitihada za nyota huyo kutoka Canada kwa ajili ya kutoa misaada kwa wale waliopatwa na janga la kimbunga nchini humo.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging