Google PlusRSS FeedEmail

JHIKOMAN KUFANYA SHOO UJERUMANI

Mwanamuziki mashuhuri wa reggae barani Afrika, Jhikoman & Afrikabisa Band toka Bagamoyo, mkoa wa Pwani, Tanzania anarajiwa kuwa miongoni mwa wasanii wakubwa watakao tingisha onesho kubwa la 5 la kimataifa lijulikanalo kama International African Festival-Tubingen linalotarajiwa kufanyika mjini Tubingen, nchini Ujerumani Kusini kuanzia 17 Julai mpaka 20 Julai 2014.

Mwanamuziki huyo nyota Jhikoman kwa sasa yuko nchini Finland ambapo anafanya maonesho katika majukwaa ya kimataifa na kabla ya kuelekea nchini Norway na kwingineko.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging