Google PlusRSS FeedEmail

RJ COMPANY YAONGOZA KWENYE TUNZO ZA ACVA

                                   
Kampuni ya RJ iliyo chini ya uongozi  Vincent kigosi ‘Ray The Greatest’ imetisha katika ushiriki wa tuzo za Action & Cut Views Awards (ACVA 2013/14) baada ya kuingia mara nyingi katika kugombania tuzo hizo kwani kampuni imeingiza kazi zake katika vipengere 7.

                          
RJ Company inagombania kipengere cha Muongozaji Bora nafasi inayogombewa na Ray, Filamu Bora ya mwaka ambayo ni Twisted, mwigizaji bora chipukizi Najma, nafasi nyingine inayogombewa na kampuni hiyo ni mpiga picha Bora inayogombewa na Farid Uwezo, Mhariri bora inayogombewa na Mandela na nyingine ni Mwigizaji msaidizi Blandina Changula ‘Johari’ kupitia filamu ya Bad Luck.
                       
Wengine walioingiza kazi nyingi ni kampuni ya Jerusalem film company inayoongozwa na Jacob Stephen ‘JB’ ambaye amefanikiwa kushiriki kuingia katika vipengere 6. Wajey Film 
                                

Company wao wanakuwa wa tatu kwa kushiriki katika vipengere vitano, mwingine aliyefanikiwa kushiki katika vipengere vingi ni Cloud 112...


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging