Google PlusRSS FeedEmail

JE NI KWELI JINI KABULA ATEKA PENZI LA MADEE?

                          
Siku za Karibuni Mwigizaji wa Sinema za Kibongo Jina kabula inasemekana amelinasa penzi la Mwaimbaji maarufu wa Bongo Flava Madee , Habari zilizozagaa ni kuwa huwa jamaa wanaongozana kila mahali 

Baada ya Madee kutafutwa amekana tuhuma hizi na kusema kuna kazi wanafanya pamoja ndio maana wanatembea wote kila mahali …Jina kabula Aliwahi kutoka na Tuesday mwigizaji mwenzake ni walipata mtoto pia siku za karibuni alikuwa anatoka na Bushoke.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging