Accra Ghana - Mara baada ya kupotea kwa muda kwenye anga za muziki ,Lousika ameibuka na kutupia picha zake katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha akiwa mjamzito
Mwanamuziki huyonalipotea jukwaani mienzi michache iliyopita mara baada tu ya kufunga ndoa..
katika picha hiyo Lousika ameonekana akiwa mjamzito huku akionekana akiwa na afya njema .
ameongeza kwa kusema mienzi mitatu iliyopita hali yake ilikuwa tete lakini sasa yupo fiti ingawa hawezi kurudi jukwaani mpaka atakapo jifungua aliskika akisema '' Nitarudi jukwaani kishakuwa mama kamili ,niombeeni nijifungue salama then nitarudi jukwaani kwa ajili ya kuwapa burudani..