Google PlusRSS FeedEmail

PICHA ZA MASTAA MBALIMBALI NDANI YA RED CARPET KILIMANJARO MUSIC AWARDS 2014

 Mmiliki wa bendi ya Twanga Pepeta Asha Baraka akiwa katika pozi red carpet katika ukumbi wa Mlimani City katika tuzo za Kilimanjaro Music Awards
 Msanii wa filamu nchini Richie Richi naye alikuwa ni mmoja wa wageni waalikwa waliohudhuria tuzo hizo za kilimanjaro katika ukumbi wa Mlimani City

 Mtangazaji wa Clouds Millady akiwa na Joketi ambao pia walikuwa ni miongoni mwa washereheshaji wa tuzo hizo

Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya Vick Kimani naye alikuwa ni mmoja wa wageni waalikwa

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging