Google PlusRSS FeedEmail

YALIYOJILI USIKU WA TUZO ZA KILIMANJARO

 Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni mchumba wake na msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Wema Sepetu akishukuru mashabiki kwa niaba ya Diamond Platnum jana usiku katika kinyang'anyiro cha tuzo za Kilimanjaro Music Awards, msanii huyo aliibuka na tuzo 7 katika vipengele vyote alivyowania.
 Msanii wa muziki nchini Diamond Pltanum(kulia) akimsikiliza kwa makini msanii mwenzake wa muziki Ommy Dimpoz (wa tatu kulia) (katikati) Wema Sepetu
 Mtayarishaji wa muziki wa kizazi kipya nchini Man Water akipokea tuzo jana katika tuzo za Kilimanjaro Music Awards zilizofanyika katika ukumbi wa Mlimani City
 Msanii wa Hip Hop nchini John Makini akitumbuiza katika usiku za tuzo za Kill
 Mtangazaji wa Clouds Tv Shadee, akimshikia kipaza sauti kwa ajili ya kumtangaza mshindi wa tuzo
 Msanii wa vichekesho Joti pamoja na Shadee
 Diamond Pltanium akishukuru mashabiki na waliohudhuria katika usiku wa tuzo hizo
 Wema Sepetu pamoja na Ommy Dimpozi wakifwatilia kwa makini shughuri nzima ya utoaji wa tuzo hizo

 Muimbaji wa taarabu Isha Mashauzi akitumbuiza katika usiku wa tuzo
Msanii wa Hip Hop Fid Q akiwa ameshikilia tuzo yake mara baada ya kutajwa kuwa ni mshindi wa tuzo ya msanii bora wa Hip Hop

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging