Rapper 50 Cent ametangaza kuwa albamu yake mpya ya sita ambayo ameshaibatiza kwa jina la "Street Immortal "amesema anatarajia albamu hiyo itatoka september 16,kwanini itokae siku hiyo alisema kuwa september 16,ndio siku ambayo mshirika wake wa zamani ambaye aligeuka kuwa hasimu wake..The game pia nae anatarajia kuaachia albamu yake ya Blood Money la Familia
50 CENT KUACHIA ALBAMU MPYA SEPTEMBER 16
Rapper 50 Cent ametangaza kuwa albamu yake mpya ya sita ambayo ameshaibatiza kwa jina la "Street Immortal "amesema anatarajia albamu hiyo itatoka september 16,kwanini itokae siku hiyo alisema kuwa september 16,ndio siku ambayo mshirika wake wa zamani ambaye aligeuka kuwa hasimu wake..The game pia nae anatarajia kuaachia albamu yake ya Blood Money la Familia