Ingawa kipindi cha uchaguzi Mtitu alitamka kuwa atawapeleka polisi Bongo muvi watakaoiba pesa sasa leo hii imekuaje?
"Nimejivua na sasa mimi si kiongozi tena, hata instagram nimepost. Pamoja na kwamba niliahidi kuwapeleka polisi wezi wa mali za Bongo Muvi Unit, lakini nimeshindwa kwasababu kwanza Bongo muvi haina katiba nitampelekaje mtu polisi? sibola tu nifanye mambo yangu kuliko kuendelea kuibiana." Alisema Wiliam Mtitu