Google PlusRSS FeedEmail

SERENGETI FIESTA ILIVYOFANA

Msanii wa bongo fleva, Omary Nyembo 'Ommy Dimpoz', akiimba katika tamasha la Serengeti fiesta katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba jana jioni. Tamasha hilo  linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager.
Msanii wa muziki wa bongo fleva , Barnaba boy akifanya vitu vyake katika tamasha la Serengeti fiesta katika uwanja wa kaitaba mjini Bukoba jana jioni. Tamasha hilo  linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager
Mmoja wa wasanii waliong’ara katika tamasha la Serengeti fiesta lililofanyika juzi, Ney wa Mitego akikonga nyoyo za mashabiki katika tamasha la Serengeti fiesta katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba jana jioni. Tamasha hilo linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging