Tetesi za Beyonce kuwa mjamzito zimeendelea kusisitizwa hivi karibuni huku watu wake wa karibu wakieleza kuwa ameanza kufanya matendo kama aliyokuwa anafanya wakati ana ujauzito wa Blue Ivy.
Wikendi iliyopita, Beyonce alichochea tetesi hizo alipotembelea jumba la makumbusho ya kihistoria huko Ufaransa ambapo alikuwa ameshikilia tumbo lake kwa muda, huku likionekana kama limevimba kwa mbali.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.