Google PlusRSS FeedEmail

MREMBO AMNG'ANGANIA SOLJA BOY

Rapper Soulja Boy alikuwa na kila sababu ya kumshitukia mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 7 baada ya msichana aliyewahi kuwa mpenzi wake kudai kuwa alizaa nae mwaka 2007.

Mwama jana Mackey mwenye umri wa miaka 23 alisambaza picha inayomuonesha akiwa na Soulja Boy na kueleza kuwa ilichukuliwa mwaka ambao alipewa ujauzito na rapper huyo.

Kwa mujibu wa TMZ, matokeo yaliyopatikana baada ya kufanyiwa vipimo vya DNA yameonesha kuwa kwa 99.9% mtoto huyo sio wa Soulja Boy.

Kipande cha document ya majibu hayo ambacho TMZ imekipata kinasomeka; “The alleged father is excluded as biolocal father of the tested child.”

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging