Ambayo ilikuwa na nyimbo nane,katika mix tape md plant anasema hakupata faida yoyote zaidi ya yeye kukutana na watu mbalimbali pamoja na kujulikana na Ma Producer mbalimbali na kuweza Record ngoma inayokwenda kwa jina NO LOVE ambayo amemshirikisha msanii mwizie M-Rap & Country Boy.Ngoma hiyo imefanyika B-Records chini ya Producer Paul Loops & Chizan Brain
MTAMBUE MD PLANT
Ambayo ilikuwa na nyimbo nane,katika mix tape md plant anasema hakupata faida yoyote zaidi ya yeye kukutana na watu mbalimbali pamoja na kujulikana na Ma Producer mbalimbali na kuweza Record ngoma inayokwenda kwa jina NO LOVE ambayo amemshirikisha msanii mwizie M-Rap & Country Boy.Ngoma hiyo imefanyika B-Records chini ya Producer Paul Loops & Chizan Brain