...Beat na Geez ni sawa na Demu na Bitoz
Lyrics bila Beat ni sawa na Demu bila Bos....... Ila tabia hii sipendi ya kuniita ni Bitoz
Lyrics bila Beat ni sawa na Demu bila Bos....... Ila tabia hii sipendi ya kuniita ni Bitoz
Nilipoanza Hiphop,Dingi alilalamika hakujua kwamba Baadae kwangu italipa....ngoma za kihardcore nikazidi kuandika....karatasi bila karamu, haujaandika hata party bila champaigne hakujakucha....."
Rest in Peace Bro!