Chidi Benz anakabiliwa na mashtaka ya kukamatwa na dawa za kulevya hivi karibuni na alikuwa nje kwa dhamana.
Kupitia twitter yake Chidi Benz ameomba maombi yenu mashabiki kwa kuandika hivi "Kesho napanda mahakamani asubuhi pale kwa hakimu mkazi kissutu..niombeeni kheri koz najua wapo wanaonihitaji bado.#vitu mbali mbali "