Mwanamitindo na msanii wa filamu Amber Rose ameomba ushirikiano kutoka kwa mashabiki ili kufikia malengo.
Msanii huyo ni miongoni mwa wasanii watakaonekana katika filamu mpya ya Cameron & Eddie Lose The Belt, ambayo inatarajiwa kutoka hv karibuni
Msanii huyo ambaye pia anafanya vipindi vya vichekesho ,alisema kuwa ameanza kuchangisha fedha kwa mashabiki na wadau mbalimbali ili kukamilisha mikakati yake
ameongeza kwa kusema anatarajia kuchangisha dolla $ 1.5 ,moaka sasa mwanamke huyo ambaye ana umri wa miaka 31 ambaye ambaye alishindwa kuvunja ndoa na mumewake Wiz Khalifa,anatarajia kuwafata watu muhimu ili ili kumsaidia katika swala hilo,kabla ya kuwa na Wiz Khalifa alikuwa na mahusiano na Rapper Kanye West