Mtitu anasema kuwa historia inaonyesha kuwa toka kuingia kwa kampuni hiyo katika usambazaji ni kampuni nyingi zimekufa baada kila msimu kampuni hiyo kushusha bei na hali hiyo inaendelea, moja ya sababu kubwa ya kushusha bei inasemekana kutokana na maharamia kutawala soko hilo na kushundwa kushughulikiwa.
MTITU ALIA NA BEI ZA FILAMU
Mtitu anasema kuwa historia inaonyesha kuwa toka kuingia kwa kampuni hiyo katika usambazaji ni kampuni nyingi zimekufa baada kila msimu kampuni hiyo kushusha bei na hali hiyo inaendelea, moja ya sababu kubwa ya kushusha bei inasemekana kutokana na maharamia kutawala soko hilo na kushundwa kushughulikiwa.