Google PlusRSS FeedEmail

AUNT EZEKIEL APEWA SOMO, ATAKIWA KUITUNZA MIMBA

Siku chache baada ya kunasa mimba ya pili, mwigizaji Flora Mvungi amempa somo la uzazi staa mwenzake, Aunt Ezekiel kuwa anapaswa kuzingatia taratibu za kliniki, vinginevyo atapata madhara makubwa. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Flora alisema mbali na kupunguza kujirusha, anamshauri Aunt aanze kwenda kliniki kwa ajili ya uchunguzi wa kiafya, na jinsi ya kuilea mimba

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging