Google PlusRSS FeedEmail

BEATS BY DR DRE YAWAFIKISHA MAHAKAMANI

                              

Wasanii mashuhuri wa Marekani Dr Dre na Jimmy Loving wanashtakiwa na mshirika wao wa kibiashara ambaye waliunda naye vipaza sauti vya masikioni ama headphones kwa jina Beats Headphone range.

Noel Lee ambaye kampuni yake Monster ilisaidia kuzindua vipaza sauti hivyo vya Dr.Dre mnamo mwaka 2008,anasema kuwa kampuni yake ilisalitiwa na teknologia yake kuibwa.


Lakini vipaza sauti hivyo vilipata umaarufu mkubwa na kuanza kutumiwa na watu mashuhuri na mashabiki wa muziki huku ushawishi wa Dr Dre ukifanya biashara hiyo kufaulu.

Wakati kmapuni hiyo ilipouzwa kwa kampuni ya simu ya HTC mnamo mwaka wa 2012,Dre na Loving walitia kibindoni kitita cha dola millioni 100 kila mmoja wao.

Hakuna tamko lolote kutoka kwa wakili wa Dr Dre ama kutoka kwa beats.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging