BAADA ya kudaiwa kuzama kwenye penzi zito msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, ajikuta akiitwa shoga na Mfanyabiashara maarufu nchini Uganda anayefahamika kwa jina la King Lawrence.
King ambaye ana makazi yake pia nchini Afrika Kusini, amedaiwa kutoa kauli hiyo juzi, Jumatano kupitia mtandao wa facebook, kwa kuonesha kukwera na kitendo cha staa wa muziki Uganda Zarinah Hasan 'Zari' kuangukia katika penzi na Diamond na kuonekana kuwatenga watoto wake, huku akionekana sehemu mbalimbali Afrika akitembena na msanii huyo kutoka nchini Tanzania.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.