Mwanamuziki Beyonce ameweka Record nyingine kuwa ndiye mwanamuziki ambaye amepiga picha nyingi zenye mvuto kuliko msanii yeyote Duniani
Taarifa iliyotolewa jana na tovuti moja ya huko Marekani imeeleza kwamba nyota huyo ameweza kuwashinda nyota wenzake Teigen na Hayley Williams. pia kwenye orodha hiyo wapo Colbie caillat
Frankie Grande na Aretha Flanklin ambao walishindwa pia