Msanii wa filam Tanzania na aliekua Miss Tanzania mwaka 2006 "WEMA ABRAHAM SEPETU" amemfungulia kesi ya madai aliekua mpenzi wake wa zamani DIAMOND PLATNUMZ kwa kumripoti katika kituo cha polisi OSTERBAY kwa kudai kumtapeli kiasi cha Shillingi Million 10 ambazo alimpatia kwa makubaliano ya kazi na kuahidi kua angemlipa lakini makubaliano yao yamekwenda kinyume na ahadi.