Mara baada ya kuenea picha iliyokuwa ikisema Chid Benz & Chid Vits katika mitandao ya kijamii huku ikiwa inaonyesha picha ya Chid Enzi zake alivyokuwa akikubalika kwa mashabiki..
Hatimae Chid aongelea swala hulo na kusema kuwa watu waliofanya hivyo ni kumkosea heshima,ila ni wabaya wake ambao wanataka kumchafua '' mimi nakubalika sana mashabiki wangu na nawapenda sana ila hao wanaonichafua wao waendelee tu maana mimi nimeongelewa kwa mengi ila nimekuwa kimya na kuvumilia hayo yote..alimalizia kwa kusema Kelele za mlango haziwezi kumnyima usingizi mwenye nyumba.