MSANII wa filamu kutoka Nigeria Omotola Jalade ni kati ya wasanii wachache waliofanikiwa kudumu katika fani hiyo ya uigizaji kuanzia kipindi ambacho tulianza kuangalia filamu za Kinigeria.
Omotola, huku akiwa ameambatana na mume wake, Kapteni Mathayo Ekeinde pamoja na marafiki zake wameamua kusherehekea maadhimisho ya miaka 20 ya muigizaji huyo ndani ya Nolywood kwa kuwatembelea wajane na watoto yatima na kula nao chakula cha mchana, burudani ya muziki pamoja na kutoa zawadi mbalimbali.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.