Mratibu wa tamasha hilo Danny Nyalusi amesema kuwa wataka filamu ziwakilishwe mapema ili kuweza kuzikagua na kuziingiza katika ratiba kwa tamasha hilo kubwa Ulimwenguni kwani ni sehemu inayowakusanya wataalamu wa filamu.
Tunataarifu watayarishaji walete filamu zao mapema kwani baada ya tarehe tajwa hatutapokea filamu, pia tunahitaji filamu katika mfumo wa Dvd ambayo ni moja na si 1&2 hiyo ni kwa ajili ya tamasha tu,”anasema Danny.