Google PlusRSS FeedEmail

OLAMIDE AWA BABA

                          

Muigizaji na mwanamuziki nchini Nigeria Olamide Adedeji amepata mtoto wa kiume .Hatua hiyo imekuja baada ya mchumba wake Adebukunmi Suleiman,kujifungua Jumamosi Iliyopita katika Hospitali ya St . Ives ,Ikeja iliyopo nchini humo.

Adebukunmi aisha amejifungua salama na mtoto huyo amepewa jina la Olamidele na anaendelea vyema na wameruhusiwa kurudi nyumbani..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging