Vicker alisema hayo hivi karibuni wakati wa sherehe za kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mke wake Adjon.
Alisema amebaini wapo watarishaji wanakiuka haki za binaadamu,.Akizungumzia kuhusu mipango ya filamu yake mpya ,alisema ana mpango wa kutunga filamu inayozungumzia madhara ya biashara ya utumwa