Mcheza filamu Rose Ndauka,ametoa wito kwa wasanii wa kike kuachana na tabia ya kutoa mimba kwani kufanya hivyo ni kunyume cha maadili na kujidhalilisha
Aliongeza kwa kusema baadhi ya wasanii wa filamu nyota hawataki kuzaa hata wale waliowazaa kabla ya kuwa staa hawawapendi
alisikika akisema'' mimi sijui kwa nini wasanii wengi hawapendi kuzaa,kuzaa ni swala la kujipanga tu maana kama kipaji kiko hakuna haja ya kuogopa kuzaa.ni vyema kuzaa mapema kwani umri hausubiri ..