Diamond Platnumz amefunguka kuhusiana na habari zilizoenea kwenye mitandao mbalimbali zikisema kuwa alinusurika kukatwa mguu, akiongea na chombo kimoja cha habari nchiniNairobi, Diamond amesema alifanyiwa upasuaji huo wa mguu kutokana na kichuma alichokuwa nacho siku nyingi ndani ya mguu wake, lakini kwa sasa amepona na yuko fiti.
Akizungumzia kuhusiana na afya ya mama yake, Dimond Platnumz amesema baada ya kurudi kutoka India kwenye matibabu sasa hivi amepona kabisa, kuhusu ishu ya ujauzito wa mpenzi wake Zari, Diamond amesema anatarajia kupata mtoto wake wa kwanza na anamsubiri mtoto wake huyo kwa hamu kubwa sana.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.