Google PlusRSS FeedEmail

JAMES BOND AKANA KUM'BAGUA IDRIS ELBA

                                                   
Aliyekuwa nyota wa filamu ya 007 Roger More ama kwa jina la usanii James Bond amesema kuwa madai kwamba alitoa tamko la kiubaguzi dhidi ya msanii Idris Elba si ya kweli.
Akizungumza na jarida moja la Ufaransa Paris Match.
Bond anasema kuwa aliulizwa kuhusu Elba kumrithi Daniel Craig ambaye ndiye anayeigiza kama James Bond.
                                   
n                        
Msanii huyo wa filamu wa mda mrefu,alinukuliwa akisema kuwa mtu anayefaa kumrithi katika filamu mpya ya 007 anafaa kuwa ''English-English''.
Matamshi hayo yalizua hisia kali kutoka kwa watu wa mitandaoni lakini akasisitiza kuwa alinukuliwa vibaya.
''Ijapokuwa nafasi ya James imechezwa na raia wa uskochi,wa Wales na Ireland nadhani ni vyema akisalia kuwa Muingereza'',alisema Bwana Roger Moore.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging