Google PlusRSS FeedEmail

MARA BAADA YA KUPATA TUZO YA EUROPEAN DEVELOPMENT OF TANZANIA FID Q ATOA KAULI

                             

Mwanamuziki wa Hip Hop Farid Kubanda Fid Q,amesema tuzo aliyoipata ni mwanzo wa mafanikio katika Tasnia ya Muziki

Fid Q alisema hayo mara baada ya kupata Tuzo ya European Development of Tanzania mwaka 2015,kutokana na mchango wake kwa jamii

Akizungumza na Pro 24 alisema ataendelea kupigana ili kuhakikisha unapata mafanikio nje ya nchi

Alisema kuwa nyimbo zake zimekuwa zikifanya vyema sokoni ndani na nje ya nchi kutokana na mashairi mazuri

Fid Q alisikika akisema ''Ni faraja kubwa kwangu kupata tuzo hii maana nyimbo zangu zimekubalika nje ya nchi kimsingi nitaendelea kujituma kwa kuwa lengo langu ni kuitangaza nchi na kupata mafanikio zaidi alisema Fid Q

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging