Mwanamuziki wa Hip Hop Farid Kubanda Fid Q,amesema tuzo aliyoipata ni mwanzo wa mafanikio katika Tasnia ya Muziki
Fid Q alisema hayo mara baada ya kupata Tuzo ya European Development of Tanzania mwaka 2015,kutokana na mchango wake kwa jamii
Akizungumza na Pro 24 alisema ataendelea kupigana ili kuhakikisha unapata mafanikio nje ya nchi
Alisema kuwa nyimbo zake zimekuwa zikifanya vyema sokoni ndani na nje ya nchi kutokana na mashairi mazuri
Fid Q alisikika akisema ''Ni faraja kubwa kwangu kupata tuzo hii maana nyimbo zangu zimekubalika nje ya nchi kimsingi nitaendelea kujituma kwa kuwa lengo langu ni kuitangaza nchi na kupata mafanikio zaidi alisema Fid Q