Mwanamuziki wa Bongo Flever Erick Msodoki ''Young Killer '' amesema kuwa hana mpango wa kurudi kucheza soka kwa muda huu
Young Killer 20 ni mmoja ya wachezaji kwenye vipaji pekee ambavyo vimetokea katika soka la Tanzania ,Young Killer amesema matumaini yake kurudi katika soka yamepotea kabisa hasa kutokana na kocha wake wa zamani Sylvester Marsh kufariki Dunia
Young Killer ni moja ya watu walioguswa sana na msiba huo,kwani alikuwa na matumaini siku moija angerudi kucheza soka chini ya kocha huyo
miaka ya nyuma nilikuwa mchezaji mzuri sana hasa kufunzwa vyema na Marsh ila matumaini yamepotea kabisa kurudi kwenye soka