Mwanadada anayetamba katika tasnia ya filamu na mziki nchini Zuwena Mohamed Shilole,amesema kuwa kwa sasa yuko katika mpango wa kutafuta mtoto yeye na mpenzi wake Nuh Mziwanda ambaye naye ni msanii
Shilole amesema kutokana na maneno mengi yanayozungumzwa na watu kuhusu penzi lao,
Shilole alisikika akisema ''Nampenda sana mziwanda wangu kuna watu wanaongea sana ila mimi sijali na nina mpango wa kuzaa nae watoto wawili.