Mwanamuziki wa miondoko ya R&B kutoka Nigeria Tiwa Savage jana alifanikiwa kufanya shoo ya aina yake nchini Uganda ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.
Savage aliyetua Uganda juzi kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Entebbe alifanya onesho hilo kwenye viwanja vya Kati Kati vilivyopo Lugogo Jijini Kampala.
Ontesho hilo la Savage pia lilisindikizwa na wasanii wa Uganda kama vile Rema, Irene Ntale, Cindy, Sheebah, Keko pamoja na Lillian Mbabazi.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.