Safari hii campaign hii inajumuisha wasanii wakike tu ukiringanisha na mwaka jana ambapo ilijumuisha wasanii wakike na wakiume katika kuhamasisha kilimo Africa, Tanzania tuliwakilishwa na Diamond Platnumz pamoja na AY.
Vanessa Mdee ameungana na Victoria Kimani (Kenya), Waje na Yemi Alade (Nigeria), mtoto wa Olver Mtukudz, Selmor Mtukudz pamoja na muigizaji mkubwa kutoka Nigeria, Omotola ambae ni Balozi wa Campaign.
Leo hii Vaanesa na wenzake wametembela kituo cha watoto wa kike wanaoishi katika mazingira yenye utata cha "Miriam Makeba Home for Girls". Wasichana hao huja kuishi katika kituo hicho kwa ajili ya protection.