Tamasha la Nyota wa Pop Jennifer Lopez nchini Morocco, limepelekea kutolewa wito wa kutaka waziri wa mawasiliano wa nchi hiyo ajiuzulu.
Mjumbe mashuhuri wa Chama Tawala cha Haki na Maendeleo, amesema shoo ya mwanamuziki huyo katika tamasha la Mawazine Jijini Rabat, ilivunja maadili ya umma.
Waziri wa Mawasiliano Mustapha Khalfi, alikosolewa kwa kuruhusu tamasha hilo kurushwa kwenye kituo cha televesheni cha umma. Hata hivyo amegoma kujiuzulu.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.