Majonzi!! Baba mzazi wa Bobbi Kristina Brown, Bobby Brown ( mwenye kofia nyekundu ) akiwa katika majonzi makubwa baada ya kufiwa na mtoto wake Bobbi Kristina jana jumapili.
Binti huyo amefariki akiwa na umri wa miaka 22, na amekuwa katika hali ya kupoteza fahamu kwa zaidi ya miezi sita, tangu alipokutwa akiwa ameanguka bafuni na kukimbizwa hospitali Janurary 31' 2015.
Alikuwa mtoto wa wanamuziki mahiri Whitney Houston ambaye amefariki dunia na baba yake ni Bobby Brown.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.