Baada ya kudumu kwenye mahusiano kwa muda mrefu, hatimae Rapper Kid Ink ame “propos” kwa demu wake Asiah Azante.
Mkali huyo anaeiwakilisha “crew” ya Bat gang, ameiambia Hot 97 kwamba alikuwa akisubiri muda muafaka.
“I feel like it’s not just getting married and getting a ring. I feel like it’s a lifestyle you have to live when you become engaged and become married.” Alisema Kid
Kupitia kurasa zao za Instagram Ink na Asiah, wamepost picha mbali mbali zikifafanua zaidi tukio hilo.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.