Google PlusRSS FeedEmail

HILOLE NA MZIWANDA WALIKUWA WAKITAFUTA KIK YA KUTOKA

                Nuhu Mziwanda, Zuwena Mohamed
Baada mikasa na vituko kibao vya kidume kuchezea kichapo na kuvumilia kitambo huku thamani ya uume ikidhalilishwa front, kijana Nuhu Mziwanda kabwaga mazima, ni Couple iliyounganishwa na yeye na mwanadada mwenye kesi kwa Pilato Basata kwa kumwaga radhi Ughaibu Shilole.

baada ya kupata mtonyo iliwaibukia artist hao wenye uwezo wa kuact kila kunapokucha katika kupata data kama ni sinema na wanaendelea na Movie yao mpya ya maisha kama walivyozoeleka? Lakini hii ni real mtu kambwaga mtu naye kaipokea safi.

“Mwanaume umjali mpenzi wake na kumfanyia kile atakacho, lakini si kwa huyu ni mwanamke asiyejua kupendwa na chochote nilichofanya ilikuwa kwa ajili ya upendo tu, nimemwacha na aje mwanaume mwingine naye ajaribu,”Mziwanda

Pia msanii huyo wa muziki amekanusha kuwa kuwepo kwake na mwenye jina la Zuwena Mohamed jina linalofunikwa na hili la ugali la Shilole kuwa hakuwa anamtegemea sana kama ni kwenda Uropa ilikuwa ni mialiko ya kila mmoja kwa dili lake.

Pro 24 ilimtafuta mdada makeke awapo kwa stage hadi kusaula viwalo na kuingia matatizoni na wenye mamlaka ya sanaa simu zake zote zilikuwa hazina majibu once mambo yanaendelea, pro24  imebaini kuwa hakuna watu kubwagana wala nini bali ni mchongo wa machizi hao kutafuta kiki wamepata.

Ilikuwa ngumu kwa wanaomjua Mziwanda eti akijitoe kirahisi hivyo kwa Shilole? Bali wamejipa majina yao ambayo Shilole anaitwa Asha ngedere na Mziwanda jina la Ganda la Ndizi utelezi mwanzo mwisho afanye nini kijana wa watu, maisha ndio yalivyo.

Kumbe walikuwa wanataka Kiki tu, kama Ulaya au wapi hiyo hizi Kiki bhana kuna siku mtu anamua hata Mshua ili mambo yaende. Danganya toto hiyo imebainika baada ya wimbo wao walioshirikiana wasanii hao kuachiwa katika moja ya Redio hivyo hiyo ni movie tu.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging