Nyota wa filamu kutoka Hongkong,China Chan Kong - Sang almaharufu Jackie Chan anatarajia kutembelea Nchi ya Nigeria
Chan atakuwepo nchini humo kutambulisha filamu mpya aliyoigiza ya Dragon Blade iliyoongozwa na Daniel Lee
Chan anatarajia kuwa September 4 akiwa amewakilishwa na kampuni ya filamu ya FilmOne waliopata haki za kuuza fulamu hiyo Africa
Dragon Blade inaonekana mara ya kwanza mwaka 2014 kwenye Festival na ilishinda tuzo tofauti kwenye Tamasha la Abuja International Film Festival na ilishinda tuzo tofauti kama filamu Bora ya nje Best Foreign Film