“Sisi wasanii wa filamu kwa Bongo hatuwezi kabisa kulinda muonekano wetu kimaumbo msanii akikubalika tu anajiachia mwili huo, vijana wadogo tu kuna wakati unashindwa umchezeshe kama binti au mama mtu mzima, lakini ukimuona msanii kama Sarafina yupo vile vile,”anasema Monalisa.
Monalisa anasema kuwa moja kati ya vitu muhimu katika tasnia ya filamu ni kuwa na mpangilio wa vyakula kufanya mazoezi ili kuendelea kuwa katika muonekano mzuri kama vile akina Angelina Jolie walivyodumu na hata badhi ya wasanii wengine Afrika ambao hawajapoteza mvuto kwa kujiachia kunenepa bila mpangilio.
Monalisa anasema kuwa moja kati ya vitu muhimu katika tasnia ya filamu ni kuwa na mpangilio wa vyakula kufanya mazoezi ili kuendelea kuwa katika muonekano mzuri kama vile akina Angelina Jolie walivyodumu na hata badhi ya wasanii wengine Afrika ambao hawajapoteza mvuto kwa kujiachia kunenepa bila mpangilio.