Google PlusRSS FeedEmail

DRAKE AMVISHA PETE YA UCHUMBA SERENA WILLIAMS?

Kuna uvumi umeanza kuenea leo asubuhi kupitia mitandao ya kijamii na Blogs, ati rapper wa Young Money Drake amemvisha pete mcheza Tennis wa kike nambari moja duniani Serena Williams.

Ripota mkuu wa kidaku kutoka TMZ, amekanusha uvumi huu akidai si kweli na wawili hao wapo ‘busy’ na kazi zao huku kila mmoja akiwa mkoa tofauti na mwenzie.

Drake na Serena wameripotiwa kutoka kimapenzi, huku mara kadhaa wakidhihirisha ‘MAHABA’ ya kina hadharani.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging