Google PlusRSS FeedEmail

JOHARI KUJITUPA KWENYE SIASA


                        
Mwanadada nyota wa filamu nchini Brandina Chagula Johari ambaye kwa sasa yuko katika harakati za kumnadi mgombea urais kwa Tiketi ya Ccm,amesema amejikuta akivutiwa sana na kuingia katika siasa

Amesema amepata hamasa ya kuingia katika siana na huenda uchaguzi ujao angaingia rasmi ili agombee ubunge.

alisikika akisema ''Kampeni za mwaka huu zimetufunza vutu vingi ikiwa ni pamoja na kutambua mambo mengi ambayo yako katika siasa nafikiria kugombea ubunge katika uchaguzi ujao.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging