Google PlusRSS FeedEmail

KUTOJIAMINI KWA DRAKE NDIKO KULIMKOSEDHA DILI NA AKON

Akon anawamiliki T pain, Lady Gaga na wengine kibao kupitia ‘label’ yake ya Konvict Music, kama ulikuwa hufahamu ni kwamba alitaka pia kumuingiza kundini rapper Drake, ila kuna sababu kwanini hakumalizia deal hiyo.

Akizungumza na kupitia kipindi cha Montrereality, Akon amedai Drake alipelekwa kwake na producer wake Cardinally Official lakini hakuwa na kiwango kama alichonacho hivi sasa.

“Niwe tu mkweli kipindi kile hakuwa anafanya poa kama hivi sasa,nafikiri kazidisha mara dufu kujiamini” alisema.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging