Mtayarishaji wa muziki, muimbaji na Dj Johnson ‘Jorsbless’ Sululu, amesema amefanikiwa kukamilisha album yake yenye ‘ngoma’ 13.
Akizungumza juu ya hilo Jorsbless amefafanua kuwa album hiyo itaitwa ‘I never left’. Tayari mkali huyo ana Hit moja inayosumbua hivi sasa iitwayo ‘A moment’.
Mbali na kuimba ‘Jors’ ni miongoni mwa watayarishaji wa muziki wa muda mrefu Bongo, akiwa amefanikiwa kutengeneza ‘Hits’ za kutosha ikiwemo album iliyofanikiwa ya RNB staa Rama Dee ‘Chini ya Uvungu wa moyo wangu’.
SOURCE. WWW.TIMESFM.COM
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.