Google PlusRSS FeedEmail

NICKI MINAJ KUSHITAKIWA NA MPENZI WAKE



 Nicki Minaj kutoka Cash Money Records kuachana na aliyekuwa mpenzi wake wa miaka 12, Safaree Samuels  Miezi michache iliyopita Nicki Minaj na Safaree Samuels walishambuliana kwenye mitandao ya kijamii huku Safaree akidai Nicki alianza mahusiano na Meek Mill wakati bado wapo pamoja… Safaree  amesema anaenda moja kwa mojaMahakamani kudai kilicho chake!

Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Safaree amepeleka madai yake Mahakamani na kutaka asilimia yake ya pesa kutoka kwenye Album tatu za Nicki Minaj: The Pinkprint, Pink Friday na Pink Friday: Roman Reloaded, huku akidai pesa kubwa zaidi ya pesa kwenye mauzo yaliopatikana kwenye single 3 kubwa za Nicki, Only aliyomshirikisha Chris Brown, Drake na Lil Wayne, Flawless (Remix) wimbo aliofanya na Beyoncepamoja na share yake kwenye wimbo wa Feeling Myself aliomshirikisha Beyonce Knowles.



This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging