Google PlusRSS FeedEmail

NIPO SIJAPOTEA- NORA

                                              NURU NASSOR

MWIGIZAJI wa kike katika tasnia ya filamu Bongo Nuru Nassor ‘Nora’ anasema hajapotea katika tasnia ya filamu bali ni kujipanga na kufanya kazi zake zaidi kuliko za kushirikishwa kwani mara nyingi filamu ili ung’are lazima uwe mtayarishaji.

“Filamu ni tofauti na tamthilia, katika filamu kuna changamoto nyingi sana hali ya soko lakini pia maandalizi yake ni gharama, ndio kuna wakati wanaona msanii kama kapotea kumbe anajipanga,”Nora.
Nora anasema kuwa baadhi ya watayarishaji ni waoga kuwashirikisha wasanii wenye uwezo wa kuigiza kwa kuhofia kufunikwa na wasanii hao hivyo wapo tayari kuwapa nafasi ndogo katika kuigiza ili wasifunikwe ili uigize kwa nafasi lazima uwe mtayarishaji.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging